UHUSIANO WA INDIA NA NEPALI YATARAJIWA KUBORESHWA

Katibu wa Mambo ya nje wa India Harsh Vardhan Shringla alikuwa ziarani kule Kathmandu wiki iliyopita. Ziara yake, inayokuja mara tu baada ya ziara ya Mkuu wa Jeshi la India kwenda Nepal, ingesaidia s...

WAZIRI MKUU ANAWATAKA WATU WAWE NA ROHO

 Kwenye sehemu ya 18 ya kipindi cha kila mwezi cha “Mann ki Baat” juu ya mtandao wa Redio ya India, Waziri Mkuu Narendra Modi alishiriki habari njema na Wahindi wote.  Waziri Mkuu alisema...

Pakistan Inaelekea Kwenye Utata wa Kisiasa.

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan wiki iliyopita alitangaza kupigwa marufuku kwa mikutano ya kisiasa kote nchini kwa niaba ya Kituo cha Kitaifa cha Uendeshaji na Operesheni (NCOC) akiitaja kama hita...

Mkutano wa Mwaka wa G-20 Jijini Riyadh.

Mkutano wa 15 wa Mwaka wa G-20, ulioandaliwa na Saudi Arabia mwishoni mwa wiki, ulithibitisha kwamba “uratibu wa hatua za ulimwengu, mshikamano, na ushirikiano wa pande nyingi ni muhimu zaidi leo kul...

Waziri Mkuu Asisitiza Juu ya Uwekezaji Katika Miji.

Katika ulimwengu wa baada ya Covid-19, India itakuwa kati ya nchi chache ambazo zitakuwa mfano mzuri wa ukuaji wa uchumi. Makadirio kadhaa ya matumaini yanafanywa kuhusu uchumi wa nchi katika mwaka u...