Ziara Ya Wanandoa wa Kifalme wa Uswidi Nchini India.
Wanandoa wa kifalmme wa Uswidi Mfalme Carl XVI Gustaf na Malkia Silvia walikuwa kwenye ziara ya siku tano nchini India. Waziri wa Mambo ya nje wa Sweden Ann Linde na Waziri wa Biashara Ibrahim Baylan...